Majina yametoka ya Vijana wanaowania Tuzo za VIJANA 100 WA AFRIKA wenye ushawishi mkubwa kwa jamii katiika Nchi zao na Barani Afrika kwa mwaka 2017.
Watanzania wanne Wamechaguliwa kuwania tuzo kwenye tuzo za Vijana 100 wa Bara la Afrika wenye ushawishi mkubwa Kwenye Nchi wanazotoka na Barani Afrika.
Tanzania imewakilishwa na Msanii Alikiba, Diamond Platnumz,Mwigizaji Lulu Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata.
Watanzania wanne Wamechaguliwa kuwania tuzo kwenye tuzo za Vijana 100 wa Bara la Afrika wenye ushawishi mkubwa Kwenye Nchi wanazotoka na Barani Afrika.
Tanzania imewakilishwa na Msanii Alikiba, Diamond Platnumz,Mwigizaji Lulu Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata.