Diamond Platnumz, AliKiba kwenye tuzo hizi kubwa Barani Afrika…. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Diamond Platnumz, AliKiba kwenye tuzo hizi kubwa Barani Afrika….

Majina yametoka ya Vijana wanaowania Tuzo za VIJANA 100 WA AFRIKA wenye ushawishi mkubwa kwa jamii katiika Nchi zao na Barani Afrika kwa mwaka 2017.

Watanzania wanne Wamechaguliwa kuwania tuzo kwenye tuzo za Vijana 100 wa Bara la Afrika wenye ushawishi mkubwa Kwenye Nchi wanazotoka na Barani Afrika.

Tanzania imewakilishwa na Msanii Alikiba, Diamond Platnumz,Mwigizaji Lulu Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata.






SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More