MBWANA SAMATTA AFANYA KUFURU MBELE YA NAPE NA MWAKYEMBE. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

MBWANA SAMATTA AFANYA KUFURU MBELE YA NAPE NA MWAKYEMBE.

Nahodha wa timu ya Taifa stars Mbwana Samatta ametupia magoli 2 kwenye mchezo dhidi ya Botswana katika dk 2 na 88.


Mbwana Samatta ametimiza ahadi yake kwa Watanzania ambayo aliahidi kabla ya mchezo mapema juzi alivyokuwa akizungumza na waandishi wa habari.


Katika Mchezo huo uliofanyika uwanja wa taifa waziri mpya wa Habari Sanaa na Utamaduni  Harson Mwakyembe alihudhuria kwenye mchezo huo akiwa na aliyekuwa waziri wa Wizara hiyo Nape Nnauye.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More