NAY WA MITEGO ADAI KUKAMATWA NA POLISI MVOMERO NI KUTOKANA NA WIMBO WAKE "WAPO" UNAIKOSOA SERIKALI. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

NAY WA MITEGO ADAI KUKAMATWA NA POLISI MVOMERO NI KUTOKANA NA WIMBO WAKE "WAPO" UNAIKOSOA SERIKALI.

Msanii wa bongo flava Ney wa Mitego amedai kukamatwa na polisi wilayani mvomero morogoro alikokuwa amekwenda kwa ajili ya show.Hajaxema sababu ya kukamatwa kwake lakini watu wanahisi ni kutokana na wimbo wake "wapo" ambao umemkosoa vikali rais Dk John Magufuli.


Kupitia akaunti ya Instagram rapa ney wa mitego ameandika "nimekamatwa kweli muda huu nikiwa hotel Morogoro baada ya kumaliza kazi yangu iliyonileta napelekwa mvomero police nawapenda Watanzania wote #Truth #Wapo "alimalizia msanii huyo.

Hata hivyo kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro Ulrich Mtei ameongea na kusema "ni kweli huyu bwana anashikiliwa na polisi morogoro na shauri lake si la morogoro,tulipata tu maelezo kwamba tumtafute"alimalizia Kamanda Ulrich Mtei.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More