BREAKING : BRADLEY ANAPIGANIA UHAI WAKE. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

BREAKING : BRADLEY ANAPIGANIA UHAI WAKE.

Gemma, ambaye ni mama mzazi wa  Bradley Lowery (6), ametoa taarifa ya familia kuhusu kuendelea kuzorota kwa afya ya mtoto wao ambaye kwa muda mrefu amekuwa anasumbuliwa na kansa aina ambayo haiponyenyeki.

"Bradley amedhoofu sana na kwa uchungu mkubwa tunamwona anavyopigania uhai wake bila kujua namna nyingine ya kumsaidia; amekuwa anapumua kwa tabu sana. Kila jambo tumeendelea kumwachia Mungu," amesema Mama Bradley.

Ikiwa kama ishara ya kutaka kuonana kwa mara ya mwisho na watu wake wa karibu, Bradley aliwaomba wazazi wake wawaite marafiki zake mchezaji Jermaine's Defao na marafiki zake wengine wa umri wake ili aweze kuongea yake..

Jermaine Defoe (34) alifika hospitalini hapo na kutumia muda mrefu akiwa anaongea mambo mbali mbali ya kumtia moyo rafikiye Bradley hadi mtoto akalala kfuani mwa mchezaji huyo. Hali hii na upendo wa Defoe uliwaliza wengi hapo hospitali kwani namna Bradley alivyomkumbatia Jermaine akilala amelala ni kama aliyekuwa anamuaga.

Bradley alisema "huu ni wakati mgumu sana katika maisha yangu. Bradley ni mfano wa kuigwa kuhusu namna tunavyopaswa kupambana. Ninamwomba Mungu akipenda abadili matokeo nisitoyataka yamtokee Bradley."


Bradley akiwa na mama yake
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More