HABARI KATIKA PICHA : DOGO MVUTA SIGARA 16 KWA SIKU. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

HABARI KATIKA PICHA : DOGO MVUTA SIGARA 16 KWA SIKU.

Mtoto Dihan Awaidan mwenye umri wa miaka 7 ambaye anavuta sigara 16 kwa siku amekuwa gumzo xana.
Imeelezwa hapo amejitahidi xana kupunguza kuvuta Sigara akiwa na Umri wa miaka 3 alikuwa anavuta sigara zaidi ya 60 kwa siku.

Baba wa mtoto huyo anaxema mwanae alianza kuvuta sigara tangu akiwa na umri wa miaka 3 na jitihada zote za kumuachisha zimeshindikana mpaka sasa.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More