IGP SIRRO Atangaza Dau nono kwa atakayetoa Taarifa ya Mauaji Kibiti. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

IGP SIRRO Atangaza Dau nono kwa atakayetoa Taarifa ya Mauaji Kibiti.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro, avalia njuga matukio ya uhalifu yanayoweka rehani amani ya nchini.
Awali IGP Sirro ametuma Salamu za kwa wahalifu na kuwapa neno la faraja Wananchi wa Kibiti , Ikwiriri pamoja na Mkuranga na Rufiji.
IGP Sirro amekula kipao mbele ya suala la Mauji ya Raia kibiti na kuweka Dau kwa Wananchi watakao waonyesha wauaji wa Raia.
Ameweka mikakati ya kutokomeza uhalifu huo kwa kuanza kuongeza nguvu ya ziada kukabiriana na uhalifu huo.
Suala la Pili la ni Rushwa kwa Askari wa Jeshi la Polisi na kwamba askari au mtumishi wa jeshi hilo akicjihusisha na Rushwa atachukuliwa hatua za kisheria.
Suala la Mwisho ni kwamba kukomesha mauji yanayotokana na wananchi kujichukulia sheria Mkononi (watu wenye asira kali) na kwamba watachukuliwa hatua Kali.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More