DAWA ZA KULEVYA ZAMTAFUNA MSHIRIKI WA BBA THE CHASE NANDO. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

DAWA ZA KULEVYA ZAMTAFUNA MSHIRIKI WA BBA THE CHASE NANDO.

Staa aliyewahi kuiwakilisha Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa "The Chase" Nando ameendelea kudhoofika kutokana na matumizi ya Dawa za Kulevya.

Muonekano wa Nando wa zamani.

Nando aliyewahi kudai kuachana na matumuzi ya dawa za kulevya alikuwa kipenzi cha wasichana wakati anashiriki kwenye shindano hilo alitazamiwa kushinda kabla ya kutimuliwa kutokana na kujihusisha kwenye Ugomvi wa kumtishia kumchoma Kisu mshiriki wa Ghana.Mwishoni mwa wiki zilisambaa Picha Mtandaoni zikimuonesha muonekano wake wa sasa na kuwashtua watu wengi sana.

Muonekano wa Nando wa sasa.

Kabla ya hapo Nando aliwahi kuhojiwa na kudai kuwa atatoa kitabu chake kiitwacho "Mhuni huyu mwenye akili". Alishwahi kufanya interview "na kuongea sababu za kuingia huku ni Ujana tu mwanangu unajua ujana ni maji ya moto kama watu wanavyosema".

"Na pia ni Pressure na watu niliokuwa nao wakati ule na life niliyoishi mimi ni yale maisha ya kujiachia aliongeza Nando alipoulizwa kilichomfanya ajiingize kwenye matumizi ya Dawa za Kulevya".
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More