POST AND DELETE: WOLPER ATUMIA INSTAGRAM KUMPIGA CHINI HARMONIZE. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

POST AND DELETE: WOLPER ATUMIA INSTAGRAM KUMPIGA CHINI HARMONIZE.

Mwigizaji wa Bongo movie Jacquelin Wolper ametumia mtandao wa Instagram kuonesha kitu gani kinaendelea kati yake na Harmonize.
Usisahau Jacquelin Wolper na Harmonize aka "woha'ama vyovyote ulivyokuwa ukiwaita pamoja.


Wolper amembwaga rasmi hitmaker huyo wa Bado Harmonize kupitia mtandao wa Instagram aliweka Post haikuweza kukaa kwa muda mrefu akaifuta japo wapo waliowahi kuinasa mapema.

Kwenye Post hiyo iliyokuwa na emoji za alama za kopa iliyopasuka wolper aliandika "Nina akili timamu me siyo mtoto mdogo, endelea na maisha yako it over waambie rasmi usifiche @harmonize_tz I hate love" alimalizia Wolper.


Inaonekana Harmonize kauvunja moyo wa Wolper kiasi cha kuyachukia Mapenzi kiasi hicho.



SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More