Mchezaji wa Manchester United Ibrahimovic ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa EPL mwezi disemba.Kwa upande wa kocha wa Chelsea Antonie Conte ameshinda tuzo ya kocha bora wa EPL mwezi Disemba.
Kwa upande wa Kocha wa Chelsea Antonie Conte hii ni mara ya 3 mfululizo Muitalia huyu kubeba tuzo hiyo.
Mchezaji wa klabu ya Manchester United
ambaye ni raia wa Armenia Henrikh Mkhitarayan baada ya kufunga bao ambalo lilikuwa gumzo ambalo lilipewa jina la goli la "Scorpion" ameshinda tuzo ya goli bora la mwezi Disemba.