IBRAHIMOVIC, MKHITARYAN NA CONTE WASHINDA TUZO ZA EPL. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

IBRAHIMOVIC, MKHITARYAN NA CONTE WASHINDA TUZO ZA EPL.

Mchezaji wa Manchester United Ibrahimovic ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa EPL mwezi disemba.Kwa upande wa kocha wa Chelsea Antonie Conte ameshinda tuzo ya kocha bora wa EPL mwezi Disemba.


Kwa upande wa Kocha wa Chelsea Antonie Conte hii ni mara ya 3 mfululizo Muitalia huyu kubeba tuzo hiyo.

Mchezaji wa klabu ya Manchester United
ambaye ni raia wa Armenia Henrikh Mkhitarayan baada ya kufunga bao ambalo lilikuwa gumzo ambalo lilipewa jina la goli la "Scorpion" ameshinda tuzo ya goli bora la mwezi Disemba.
Hili ndilo goli bora la mwezi Disemba.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More