Huwenda ukikutana barabarani na Hanifa Daud "Jennifer" pamoja na Othman Njaidi "Patrick" ambao ni zao la marehemu Steven Kanumba na usiweze kuwafahamu kwa jinsi walivyokuwa wakubwa.
Vijana hao wawili walifanya vizuri ndani ya filamu za Uncle JJ pamoja na This is It wakiwa na marehemu Steven Kanumba.
Jennifer ambaye mwaka 2016 alionekana kwenye filamu ya Zena na Betina ya Salma Jabu "Nisha" amehitimu kidato cha 4 mwaka huu.Kwa upande wa
Patrick 2016 alihojiwa na mtandao mmoja wa Habari na kudai hana mzuka wa kuigiza kwa sasa kama zamani.Hizi hapa Picha zao walivyo sasa :