PICHA : ANGALIA PICHA ZA JENNIFER NA PATRICK WA KANUMBA WALIVYOKUWA WAKUBWA. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

PICHA : ANGALIA PICHA ZA JENNIFER NA PATRICK WA KANUMBA WALIVYOKUWA WAKUBWA.

Huwenda ukikutana barabarani na Hanifa Daud "Jennifer" pamoja na Othman Njaidi "Patrick" ambao ni zao la marehemu Steven Kanumba na usiweze kuwafahamu kwa jinsi walivyokuwa wakubwa.


Vijana hao wawili walifanya vizuri ndani ya filamu za Uncle JJ pamoja na This is It wakiwa na marehemu Steven Kanumba.

Jennifer ambaye mwaka 2016 alionekana kwenye filamu ya Zena na Betina ya Salma Jabu "Nisha" amehitimu kidato cha 4 mwaka huu.Kwa upande wa
Patrick 2016 alihojiwa na mtandao mmoja wa Habari na kudai hana mzuka wa kuigiza kwa sasa kama zamani.Hizi hapa Picha zao walivyo sasa :
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More