Jay Z na Beyonce Waalikwa Ikulu Kumuaga Obama. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Jay Z na Beyonce Waalikwa Ikulu Kumuaga Obama.

Jay Z na mke wake Beyonce wamealikwa katika Sherehe ya kumuaga Rais Barack Obama Ijumaa hii ya Januari 6. kwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa na Ikulu ya Marekani Sherehe hiyo itafanyika kwenye viwanja vya Ikulu hiyo ambapo Rais Obama na mkewe Michelle Obama watakuwa washereheshaji.


Mastaa wengine kibao wa Nchi hiyo wamealikwa kuhudhuria kwenye sherehe hiyo akiwemo Stevie Wonder, Usher Raymond, Oprah Winfrey, Samuel L.Jackson,Bradley Cooper na George Lucas.

Obama anatarajia kumkabidhi rasmi madaraka ya kuiongoza Nchi hiyo Rais Mteule Donald Trump Januari 20 baada ya kumaliza miaka minane ya Uongozi wake.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More