BREAKING ; JELA KWA KUPOSTI MTANDAONI PICHA ZA MWILI WA MAREHEMU. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

BREAKING ; JELA KWA KUPOSTI MTANDAONI PICHA ZA MWILI WA MAREHEMU.

Mtu mmoja mwenye asili ya Tanzania, Omega Mwaikambo (43) amehukumiwa kufungwa jela miezi mitatu baada ya kupatikana na hatia ya kuposti kwenye mtandao wa Facebook picha za mwili wa mtu aliyefariki katika ajali ya moto katika jengo la Grenfell Tower iliyotokea katika jiji la London nchini Uingereza.

Omega alipatikana na kosa hilo la kimtandao baada ya yeye mwenyewe kukiri kosa hilo kwa utetezi wa kuwa alifanya hivyo ili kurahisisha utambuzi wa mwili wa marehemu huyo.

Hata hivyo utetezi huo haukutosha kuifanya Mahakama kutomtia hatiani.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More