TETESI TETESI ZA USAJILI MPAKA SASA BARANI ULAYA. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

TETESI TETESI ZA USAJILI MPAKA SASA BARANI ULAYA.

Katika dirisha hili la usajili, klabu ya Portsmouth imetangaza kumsajili beki Nathan Thompson kwa mkataba wa miaka miwli.

Na kiungo wa klabu ya Gillingham, Elliot List amekubali kuongeza mkataba wa mwaka mmoja ndani ya klabu hiyo, kwa mkataba huo utamfanya adumu mpaka mwisho wa msimu wa mwaka 2017/18.

Mchezaji wa klabu ya Chelsea, Diego Costa Diego Costa amesema anahitaji kusaini kwa miamba ya Hispania timu ya Atletico Madri, mchezaji huyo aliondoka Atletico mwaka 2014.

Hawa ni wachezaji 10 waliogonga vichwa vya habari katika dirisha la usajili barani Ulaya siku ya leo

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More