HARMONIZE AELEZA SABABU ZA MPENZI WAKE KUMFUATA MAREKANI. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

HARMONIZE AELEZA SABABU ZA MPENZI WAKE KUMFUATA MAREKANI.

Msanii wa bongo Flava kutoka Lebo ya WCB Harmonize amesema safari yake ya Miami nchini Marekani ilikuwa ni kwa ajili ya kazi na sio kupumzika huku akitoa sababu za Mpenzi wake Sarah kujumuika naye.

Muimbaji huyo amesema si kweli
kwamba alienda kutambulishwa nyumbani kwa Mpenzi wake kwani walishafanyaga hivyo siku nyingi.

"Miami nlikuwa nafanya Project sio kupumzika kuna vitu nilikuwa nafanya nina Project kubwa sana mwenyezi Mungu amebariki imeisha salama na nimerudi,nilipokuwa kule Wife alikuwa na Project zake" alisema Harmonize.

"Yeye alikuja kule kwa sababu sasa hivi Italy kuna baridi xana kwa hiyo Miami ni Mji kama una Joto kidogo.Sio utambulisho mbona siku nyingi tushatambulishana,halafu pia alitakiwa asafiri hapa katikati kwa sababu kikishakua kikubwa atazuiwa kupanda Ndege sasa hivi ale good time asafiri asafiri kidogo" alimalizia Harmonize.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More