PEREZ : RONALDO HAUZWI. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

PEREZ : RONALDO HAUZWI.

Rais wa klabu ya Real Madrid aliyechaguliwa kuendelea kuiongoza klabu hiyo ameweka wazi kwamba mshambuliaji wao raia wa Ureno Cristiano Ronaldo hauzwi.

Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa za Ronaldo kutaka kuondoka katika klabu hiyo huku akiusishwa na kutaka kutimkia kwenye klabu yake ya zamani ya Manchester United. Sababu za Ronaldo kutaka kuondoka kwenye klabu hiyo ni kutokana na kukasirishwa na kitendo cha mamlaka nchini Hispania kumtuhumu kukwepa kodi na klabu yake kutompa ushirikiano kwenye sakata hilo.

Florentino Perez amesistiza kuwa mambo yote yatakuwa sawa baina ya Ronaldo na Real Madrid na mchezaji huyo atabaki kwenye klabu hiyo.

Christian Ronaldo akiwa na Florentino Perez

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More