HAWA NDIYO MAPACHA WA CHRISTIAN RONALDO. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

HAWA NDIYO MAPACHA WA CHRISTIAN RONALDO.

Mchezaji bora wa dunia Cristiano Ronaldo ameamua kuwaweka wazi watoto wake mapacha ambao amewapata hivi karibuni.

Ronaldo ameamua kuwaweka wazi mapacha wake hao mitandaoni baada ya hapo jana kuthibitisha kupata watoto hao wakati timu yake ya taifa ya Ureno ilipotolewa kwenye michuano ya kombe la mabara katika ngazi ya timu za taifa.

“So happy to be able to hold the two new loves of my life ,” ameandika mchezaji huyo kwenye picha  aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram.

Watoto hao wanaungana na kaka yao Cristiano Jr mwenye miaka saba. Wakati huo huo mpenzi wa Ronaldo, Georgina Rodriguez ambaye ni mwanamitindo anadaiwa kuwa na ujauzito wa miezi mitano.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More