TID AFUNGUKA MARA BAADA YA QUICK RACKA NA OMG KUTUMIA KUTUMIA CHORUS YAKE BILA RUHUSA. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

TID AFUNGUKA MARA BAADA YA QUICK RACKA NA OMG KUTUMIA KUTUMIA CHORUS YAKE BILA RUHUSA.

Leo June 24, 2017 upepo wa Bongofleva huenda ukaenda sivyo kwenye studio za Switch Records ikiwa ni mastaa tu tangu Quick Rocka na kundi la OMG waachie video yao mpya “Watasema”

Ambayo wametumia melody na maneno ya wimbo wa zamani uliofanywa na TID “Watasema Sana” na inaonekana TID hajashirikishwa na kuamua kudai haki zake. TID ameandika

“Wat is this….?! Hivi ndio mnapata Magari yenu!? @quickrocka & @omgtanzania we need to TALK #Watasema Naomba tukutane Central Police huwezi kutumia Haki zangu hivihivi Kabla sijafanya kitu kibaya nahitaji million 20 compensation… This song ni Awards mbili Za Kisima Music Awards 2005 in Kenya u can’t just Steal it, Unalala Ndani Leo – alimalizia  TID.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More