Mkali wa Bongo flava Ali kiba jumanne hii aliungana na uongozi wake na familia yake kwenda mbuga za wanyama za Serengeti National Park mkoani Mara kwa ajili ya kusherekea siku yake muhimu katika maisha yhuku
Mkali huyo wa Aje ametimiza miaka 30
amesema ameamua kufanya birthday yake mbugani kama moja ya kutumia jina lake kutangaza Utalii wa ndani"Namshukuru sana Mungu kwa kunifikisha miaka hii,familia yangu na mama yangu,nimeamua kusherekea birthday yangu mbugani ili kutangaza Utalii wa ndani kupitia jina langu"alisema
Ali kiba.Wakati huo huo mwanadada jokate au JoJo ametumia lugha ya kifaransa kuwasilisha Ujumbe wake huku akijaribu kutomwaga mchele kwenye kuku wengi jojo ameandika
inayosema "baby happy birthday I love you so much it is paining,I hope that French has sang,you prepare for that but
I want nothing but the best for you from the bottom of my heart the rest I leave to God for what happens to know that jojo doesn't disturb and that am happy to have you as my friend rest blessed"mwisho wa kunukuu.
Alikiba amefanya sherehe hiyo katika eneo la mpakani mwa Tanzania na Kenya katika eneo la Masai Mara kwenye Camp ya Sayari.Nimekusogezea picha ya yaliyotokea kwenye sherehe hiyo.