Mwanamuziki Diamond Platnumz amejikuta akitupiwa lawama baada ya kupiga picha akiwa amevaa kiboxer.Diamond ambaye ni bingwa wa kusababisha povu kwenye mitandao ya kijamii.Kwenye picha hiyo aliyoweka Instagram Diamond aliandika "Straight from changing room.....I think I need to go back to the gym so that i can be more flexible on m 24th Pre_Xmass Performance in Dar es salaam" alimalizia Diamond.
Licha ya kufunika na Emoji kwenye eneo la sehemu za siri,selfie hiyo imesababisha hisia tofauti huku wengine
wakimponda staa huyo kwa kukosa staha.Hizi ni baadhi ya comments na mapovu ya watu Instagram.