Picha ya Diamond akiwa amevaa Kiboxer yasababisha povu zito Instagram. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Picha ya Diamond akiwa amevaa Kiboxer yasababisha povu zito Instagram.

Mwanamuziki Diamond Platnumz amejikuta akitupiwa lawama baada ya kupiga picha akiwa amevaa kiboxer.Diamond ambaye ni bingwa wa kusababisha povu kwenye mitandao ya kijamii.Kwenye picha hiyo aliyoweka Instagram Diamond aliandika "Straight from changing room.....I think I need to go back to the gym so that i can be more flexible on m 24th Pre_Xmass Performance in Dar es salaam" alimalizia Diamond.

Licha ya kufunika na Emoji kwenye eneo la sehemu za siri,selfie hiyo imesababisha hisia tofauti huku wengine
wakimponda staa huyo kwa kukosa staha.Hizi ni baadhi ya comments na mapovu ya watu Instagram.





SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More