Wananchi wa Cuba watoa Heshima zao za Mwisho. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Wananchi wa Cuba watoa Heshima zao za Mwisho.

Maelfu ya raia wa Cuba wametoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi mwanamapinduzi Fidel Castro aliyeaga dunia siku ya ijumaa akiwa na umri wa miaka 90.Raia wengi wa Cuba walikuwa katika milolongo mirefu ya foleni kabla hata ya Alfajiri ili kuhakikisha wako miongoni mwa watu wa kwanza kutoa heshima zao.Katika uwanja wa Revolution Square katika mji Mkuu Havana sehemu ambayo waombolezaji wameweka picha ya kiongozi huyo akiwa ameshika bunduki.

Ilikuwa siku ya kwanza ya kipindi cha siku 6 za maombolezi rasmi ya kifo cha
Fidel Castro.Siku za maombolezi zitakamilika baada ya majivu ya mwili wake kuzikwa siku ya Jumapili.Majivu ya Fidel Castro yatatazamiwa kuwasilishwa kwa umma katika Uwanja wa Revolution Square lakini yatawekwa katika sehemu tofauti.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More