Kocha wa Manchester United Jose Mourinho ana mpango wa kumleta Willian ndani ya Old Traford.Nyota huyo raia wa Brazil na klabu ya Chelsea ni shabiki mkubwa wa kocha Jose Mourinho kutokana na performance aliyoonesha wakati yupo naye Chelsea.Sasa hivi ameonekana kutofanya vizuri chini ya kocha wake Conte kutokana na kubadilishwa kwa mfumo wa Chelsea kumemfanya mchezaji huyo asioneshe makali yake.
Ripoti kutoka kwenye vyombo vya habari vya England ni kwamba ikifika January Manager wa Manchester United anatarajia kumleta mchezaji huyo ndani
ya kikosi chake.Willian ambaye msimu uliopita alikuwa anafunga magoli lakini
imekuwa tofauti kwa msimu huu.