Mwenyekiti wa Mtaa Akamatwa na Polisi baada ya Mkuu wa mkoa kuagiza. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Mwenyekiti wa Mtaa Akamatwa na Polisi baada ya Mkuu wa mkoa kuagiza.

Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Gongo la mboto Bakari Shingo anashikiliwa na polisi mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kuagiza kukamatwa kwa mwenyekiti huyo baada ya kuambiwa matatizo ya bwana Bakari

Akieleza matatizo ya mwenyekiti huyo katika mkutano wa Hadhara mjumbe wa serikali ya mtaa wa Gongo la mboto amesema mwenyekiti huyo anatuhumiwa kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha, kuchapisha risiti zisizo rasmi na kukusanya kodi
kinyume na sheria.Kuwanyima wajumbe wake kufanya vikao vya mapato na matumizi na kila akiombwa anakuwa juu na kuamua kuitisha vikao nyakati za Usiku ikidaiwa ili wake za watu waje kwa udanganyifu.

Mkuu wa Mkoa ametoa amri ya kushikiliwa mwenyekiti huyo na polisi mpaka uchunguzi utakapokamilika.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More