Video ya KOKORO yazichezea Sharubu za Simba aliyekuwa Usingizini BASATA ladai litatoa Tamko | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Video ya KOKORO yazichezea Sharubu za Simba aliyekuwa Usingizini BASATA ladai litatoa Tamko

Siku chache baada ya kuachiwa video ya wakali wawili wa Bongo Flava Rich Mavoko na Diamond Platnum video ya KOKORO ni kama wanazichezea sharubu za simba mkali aliyekuwa usingizini mara baada ya video yao kutoka iliyofanyika Afrika Kusini ikionesha Wanawake waliopo kwenye Jacuzzi huku wakiwa maziwa yao wazi licha ya kupakwa rangi ya dhahabu.

Tayari baraza la Sanaa la Taifa BASATA
limehisi kuna udhalilishwaji wa wanawake kwenye video hiyo na limesema litatoa tamko iwapo litaifungia 
au lah!kupitia akaunti yake ya twitter basata wameandika "katika kusimamia Maadili na udhalilishwaji wanawake
tupo thabiti video ya #kokoro ya #mavoko inapitia uhakiki taarifa itatoka".
Limeandika baraza hill kwenye akaunti yake ya Twitter.Basata walishawahi kufungia baadhi ya video za wasanii wa 
Tanzania wakisema vilikuwa hazina maudhui mazuri na utamaduni wa Kitanzania.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More