SAKATA LA MCHUNGAJI ANAYEOMBEA WAUMINI WAKE KWA KUWAPULIZIA DAWA YA MBU | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

SAKATA LA MCHUNGAJI ANAYEOMBEA WAUMINI WAKE KWA KUWAPULIZIA DAWA YA MBU

Mchungaji mmoja wa Kanisa la Mount Zion lililopo Afrika Kusini katika mji wa Limpopo Lethebo Rabalago amezua mjadala kufuatia mtindo wake wa kuwapulizia waumini wake dawa ya MBU kama njia ya kuwapatia uponyaji katika matatizo yao.Mchungaji huyo aliyezua gumzo baada ya picha zake kusambaa akiombea watu kwa kuwa pulizia dawa ya mbu katika sehemu mbalimbali za mwili.

Mchungaji huyo ameeleza kwamba yeye
Kwake kila kitu anaweza kukifanya kuwa
baraka za uponyaji.Mchungaji huyo ame
sema kuwa dawa hiyo ni bidhaa tu lakini
akiiombea huweza kutoa uponyaji alimalizia mchungaji huyo.

Tayari taarifa imetoka kuwa  vyombo vya usalama nchini Afrika kusini vimeanza 
Uchunguzi juu ya tukio hilo la Mchungaji huyo Lethebo Rabalago.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More