Kiasi cha fedha alichochangia Ronaldo kwa klabu ya Brazil iliyopata Ajali ya Ndege. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Kiasi cha fedha alichochangia Ronaldo kwa klabu ya Brazil iliyopata Ajali ya Ndege.

Nahodha wa wa timu ya taifa ya Ureno na mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Christian Ronaldo ameeleza majonzi yake kufuatia msiba uliokumba ulimwengu wa soka baada ya Wachezaji na Viongozi wa klabu ya Chapecoense ya Nchini Brazil kufariki kutokana na Ajali ya Ndege.

Ronaldo ameamua kuchangia kiasi cha euro milioni 3 kwa timu hiyo kama Mchango wake wa rambirambi ambazo ni zaidi ya bilioni 9 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia klabu hiyo na wale wote waliofikwa na msiba huo.Kwa upande mwingine klabu nyingine za Brazil zimeliomba shirikisho la soka nchini hump kuziruhusu kuichangia klabu hiyo ya Chapecoense wachezaji bure na pia
Isisushwe daraja katika kipindi cha miaka 3.Aidha waliokuwa wapinzani wao
Katika Final hiyo wameliomba shirikisho la soka barani humo,kuipa klabu ya Chapecoense kombe hilo.Kati ya wachezaji waliokuwa na klabu hiyo ni 3 tu wamesalia ambao kutokana na sababu mbalimbali hawakuwepo safarini kwenda Colombia.Mamia ya Mashabiki wamekusanyika katika Uwanja wa timu hiyo nchini Brazil kuwaombea wale wote waliofariki.Nimekusogezea picha hapa chini kuona kinachoendelea nchini Brazil:
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More