Ngoma Bado Ngumu kwenye Rufaa ya Godbless Lema | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Ngoma Bado Ngumu kwenye Rufaa ya Godbless Lema

Rufaa ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema imeshindikana tena Leo baada ya upande wa jamhuri kuweka pingamizi ya kuwasilisha notisi badala ya rufaa ambapo Mbunge huyo amerudishwa rumande kwa mara nne.

Upande wa Jamhuri uliokuwa unawakilishwa na Mwanasheria Matenus J Marandu ambaye amesema wamefanya hivyo ili kuharakisha na wamekubaliana na pande zote mbili.Wakili wa Chadema Peter Kibatala amesema wameshakamilisha taratibu zote za kisheria kuhusiana na pingamizi hilo na wanasubiri pingamizi lililowekwa na  upande wa serikali.

Jaji aliyekuwa anasikiliza pingamizi hilo Fatma Masengi ameelekeza upande wa serikali wawasilishe hoja zao kwa njia ya maandishi kabla ya November 30 ili aweze kutolea uamuzi December 2 mwaka huu.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More