KIMENUKA Instagram Diamond na Ommy Dimpoz Warushiana Vijembe vya aibu Instagram | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

KIMENUKA Instagram Diamond na Ommy Dimpoz Warushiana Vijembe vya aibu Instagram

Wakali wawili wa bongo Flava Ommy Dimpoz na Diamond wamerushiana vijembe baada ya Rich mavoko na diamond kuweka utani katika wimbo wao mpya KOKORO tuhuma za meneja kuzima Mic wakati Alikiba anatumbuiza kwenye tamasha la Mombasa Festival.Baada ya maneno hayo Ommy Dimpoz amejibu kwa kuandika "Wazee wa kupanik mbona kama povu linawatoka,#team mziki mzuri vs team ujanja ujanja #kajiandae # kabali yao #we don't buy views you tube nilijua tunafanya mziki kumbe vitaaa #pia nawajua kwa mitusi lakini nishajiandaa #nawaachia uwanja mweupe wala sibloku mtu #nachangamsha baraza kwenye post hiyo Ommy ametupa shutuma kwa diamond kuwa hununua views you tube na hufanya mziki wa hujanja hujanja.

Diamond naye alijibu kwa post iliyobeba tuhuma nzito kwa Ommy dimpoz kwa kuandika "mtoto wa kiume kumchukia 
Mwanaume mwenzio kisa kukataa 
KUKUPUMULIA nayo ni KOKORO"kupumuliwa ni msemo wa 
Mtaani unaomaanisha mwanaume
Kuingiliwa kinyume na Maumbile".Kwa takribani miaka ya hivi karibuni kumekuwepo kutoelewana kati ya hawa maswahiba wawili wa zamani Diamond na Ommy dimpoz.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More