TRUMP AMTEUA MKOSOAJI WAKE MKUBWA KATIKA UN | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

TRUMP AMTEUA MKOSOAJI WAKE MKUBWA KATIKA UN

Rais Mteule wa Marekani Donald  Trump amemchagua Gavana wa Carolina Kusini Nikki Haley kuwa balozi mpya wa Marekani katika umoja wa Mataifa.

Tayari Trump amethibitisha bayana
nia yake ya kuwaleta watu pamoja.
Nikki Haley ambeye alimpinga Trump wakati wa kampeni za kuwania kiti
cha Urais ni Mmarekani wa pili mwenye asili ya ki_ashia,kuchukua wadhifa wa Ugavana nchini humo.

Hiyo imekuwa mojawapo ya nafasi za huu zaidi katika utawala mpya kumuendea mwanamke au mtu
asiye mweupe.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More