BREAKING :CHRISTIAN RONALDO ASHINDA TUZO YA BALLON D'OR 2016. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

BREAKING :CHRISTIAN RONALDO ASHINDA TUZO YA BALLON D'OR 2016.

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno Christian Ronaldo amemshinda hasimu wake wa karibu Lionel Messi na kutwaa tuzo ya Ballon D'or kwa Mara 4.Christian Ronaldo aliisaidia klabu yake ya Real Madrid kombe la klabu bingwa Ulaya huku akiifungia timu yake ya Taifa magoli 3 na kuiwezesha kutwaa kombe la Ulaya Euro 2016.



Mataji mengine ya Ballon D'OR alishinda mwaka 2008, 2013 na 2014.Kwa sasa Ronaldo amepitwa na Messi kwa tuzo 1 ambaye amechukua tuzo hiyo Mara 5 mwaka 2009, 2010,2011, 2012 na 2015.
Tuzo ya Ballon D'OR hupewa Mchezaji bora wa Ulaya kulingana na kura 173 ambazo hupigwa na waandishi wa habari kutoka duniani kote.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More