Vilio vyatawala wakati wa kuagwa wachezaji wa Chapecoense Brazil. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Vilio vyatawala wakati wa kuagwa wachezaji wa Chapecoense Brazil.

Wananchi wa Mji wa Brazil nyumbani kwa timu ya Chapecoense iliyopoteza wachezaji wake kufuatia ajali ya ndege iliyotokea nchini Colombia walikutana kutoa heshima zao za mwisho kwa wachezaji wa timu hiyo.

Takribani watu 100000 waliingia mtaani
nusu ya watu wanaoishi kwenye mji wa Chapecoense na kuingia uwanja wa timu
hiyo unaochukua watu 200000.Mvua kubwa iliyonyesha haikuwazuia waombolezaji kushuhudia tukio hili la kusikitisha.
Miili ya watu hao ilirudishwa kwao Brazil wakati ambapo imebainika kuwa rubani wa ndege hiyo Miguel Quiroga raia wa Bolivia "alizidanganya mamlaka za Colombia kuwa ndege ilikuwa na mafuta ya kutosha kuweza kumaliza safari".Ajali
hiyo ilisababisha vifo vya watu 71.Angalia picha zaidi hapa kilichotokea:
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More