MR NICE ATOA TAMKO BAADA YA KUZUSHIWA KIFO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

MR NICE ATOA TAMKO BAADA YA KUZUSHIWA KIFO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII.

Msanii mkongwe wa Muziki Lucas Mkenda au Mr Nice amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mitandao ya Kijamii.Mtandao mmoja wa kijamii uliandika taarifa za uongo kwamba muimbaji huyo amefariki akiwa Nchini Tanzania.

      Mr Nice ambaye yupo Nchini Kenya   amesema alishangaa kuona watu wakimpigia simu kwa wingi na kuulizwa kuhusu afya yake na alivyofuatilia akagundua kuwa kuna Mtandao umeandika Taarifa za Uongo kwamba Amefariki.Kupitia Mtandao wa Facebook Mr Nice aliamua kuandika taarifa hii.

   "East Afrika Vibes nawashukuru sana kwa kunizushia kifo sina la kuwajibu, Ila mungu atawalipa kadri ya vile Mnavyostaili kwa hiki mlichonizushia Leo......Mungu ni wetu sote na Hasikilizi amri za Binadamu so atakapohitaji ataniita kwa mapenzi yake but si nyie East Afrika mnaoweza kuniua wala yeyote yule chini ya hili jua.....Kama nyie hamuoni Thamani yangu hilo ni juu yenu kwani huku niliko ni kama Lulu na Maisha yanaendelea tena kwa kiwango cha juu kabisa......Hii si mara ya kwanza kunizushia kifo na mambo mengine ya ajabu ajabu ila all in all mi nipo na bado mtaniona sana nikiendelea kuwepo.......Im Total dissapointed kwa kweli.....Mungu awape Stahiki yenu....Thanks sana Eatv 13.12.2016.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More