CAF Yatangaza Majina 3 Ya Wachezaji Wanaowania Tuzo Ya Mchezaji Bora wa Africa. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

CAF Yatangaza Majina 3 Ya Wachezaji Wanaowania Tuzo Ya Mchezaji Bora wa Africa.

Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF limetangaza majina ya wachezaji watatu watakawania Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika Mwaka huu.
Wachezaji waliotajwa kwenye majina hayo ni pamoja na Pierre_Emerick Aubameyang wa Gabon na klabu ya Borussia Dortmund.

Wengine ni Riyad Mahrez wa Algeria na Leicester City pamoja na Sadio Mane wa Senegal na klabu ya Liverpool.


Wachezaji wengine waliotajwa kuwania  
tuzo ya Mchezaji bora wanaocheza ligi za ndani ni Pamoja na Golikipa wa Uganda  Dennis Onyango na Khama Billiat  wa Zimbabwe wote wanachezea klabu ya Mamelodi Sundowns na Rainford kalaba kutoka Zambia.

Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa Januari 5 mwakani jijini Abuja Nigeria.


SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More