Baada ya Disemba 24 kuangusha Show kubwa fukwe za Jangwani Sea Breaze jijini Dar es salaam timu nzima ya WCB ilielekea Iringa kusherekea sikukuu ya Christmas kwa show kubwa kwenye viwanja vya Samora iliyopewa jina la Vodacom Wasafi Festival.
Wakiongozwa na Boss wao Diamond Platnumz SIMBA waliangusha bonge la show na kujaza Nyomi uwanjani hapo.
Wasanii wengine kutoka WCB walioangusha show hiyo ni Rich Mavoko,
Harmonize, Raymond na Queen Darleen.
Msanii kutoka Nigeria KCEE naye alikuwepo Pamoja na Chegge kutoka Tmk Wanaume Family. Hizi hapa nimekusogezea Picha za Show hiyo :