Baada ya Jana kutoka Taarifa ya kutenguliwa kwa aliyekuwa Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Dkt Mwele Malecela kutokanana na vyombo vya Habari kadhaa nchini na nje ya Nchi kumnukuu akitangaza matokeo ya utafiti yaliyobaini kuhusu kugundulika kwa Ugonjwa wa Zika nchini Tanzania.
Hata hivyo Jana hiyo hiyo Waziri wa Afya
Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu alikanusha taarifa za kuwepo kwa virusi vya Ugonjwa wa Zika.Leo tarehe 17 kumetolewa taarifa kutoka Ikulu ya Dar es salaam kuwa
Rais Dkt John Pombe Magufuli amemteua Prof Yunus D Mgaya kuwa Mkurugenzi mpya kuwa Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya binadamu (NIMR).
Mkurugenzi mkuu mpya wa NIMR Prof. Yunus D. Mgaya