Picha Ajali ya Hiace na Lori yaua watu 9 na kujeruhi 18 | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Picha Ajali ya Hiace na Lori yaua watu 9 na kujeruhi 18

Ajali mbaya imetokea jana jioni eneo la Ifunda Iringa imeua watu 9 na wengine 18 kujeruhiwa Ajali hiyo imehusisha lori la mizigo kugonga gari dogo la Abiria Hiace.Kamanda wa Polisi wa Mkoa Amina Masenza
alisema dereva wa lori lililotokea Mbeya kwenda Dar es salaam alishindwa kufunga breki ya gari hilo na kugonga Hiace hiyo iliyoogeshwa pembezoni mwa barabara.

"Lori limeharibika kabisa na Hiace pia imeharibika,Lori hilo liliposhindwa kufunga breki liligonga Hiace hiyo ambayo ilikuwa na abiria na kwenda mbele kugonga watembea kwa miguu" alisema kamanda.Madereva wa magari hayo wote wamejuruhiwa na wamelazwa hospital ya mkoa wa Iringa na majeruhi wote.

"Dereva mmoja yupo chumba cha upasuaji kwa kuwa mguu wake umevunjika na mwingine yupo wodini".Kamanda wa Polisi ametoa tahadhari kwa madereva ambao magari yao mabovu kuhakikisha wanayatengeneza kwanza kabla ya kuyaingiza barabarani kwani yanahatarisha maisha ya watu wengi.Hizi hapa ni picha za Ajali hiyo:

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More