Oscar wa Chelsea Atarajiwa Kuwafunika Ronaldo na Messi. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Oscar wa Chelsea Atarajiwa Kuwafunika Ronaldo na Messi.

Kiungo wa klabu ya Chelsea Oscar Dos Santos anatarajiwa kuwa Mchezaji atakayekuwa analipwa Mshahara Mkubwa zaidi duniani na kuwafunika Ronaldo na Messi.


Imedaiwa kuwa klabu inayoshiriki ligi kuu ya China Shanghai  SIPG imeshaanza kukamilisha mipango yao ya kumsajili Mchezaji huyu mwezi Januari kwenye dirisha dogo la
Usajili ambayo itaigharimu timu hiyo kiasi cha Paundi Milioni 60 kama fedha ya Usajili.

Oscar anatarajiwa kulipwa Mshahara wa
Paundi laki nne kwa wiki na kumfanya awe Mchezaji anayelipwa zaidi duniani.
Kwa sasa Ronaldo na Messi ndio wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi duniani wote wakipokea kiasi cha Paundi 365,000 kwa wiki.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More