TINY AOMBA TALAKA KWA MUMEWE T.I. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

TINY AOMBA TALAKA KWA MUMEWE T.I.

Mwaka 2016 unaondoka na ndoa nyingine iliyoonekana imara kwa macho ya wengi.Ndoa ya T.I na mkewe Tiny imefikia ukingoni baada ya kudumu kwenye ndoa kwa muda wa miaka 6.Tiny muimbaji wa zamani wa kundi la Xscape ameomba talaka kutoka kwa mume wake mwezi huu.



Kwa mujibu wa Mtandao wa TMZ uhusiano wao uliingia doa zaidi baada ya kusambaa mtandaoni Picha za Tiny akicheza mziki na Floyd Mayweather adui mkubwa wa T.I kwenye Party ya Halloween ya Mariah Carey.

Wawili hao walifunga ndoa  mwaka 2010
na pamoja wana watoto 3 King, Major na
wa kike Heiress Harris aliyezaliwa March
Licha ya kuachana habari zinadai kuwa wataendelea kuwa marafiki kwa ajili ya watoto na familia yao.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More