Kumekuwa na taarifa zikiendelea kwenye mitandao ya kijamii kuwa kumetokea Uvamizi kwenye benki ya FNB huku habari hizo zikihusisha mwanadada mmoja ambaye jina lake halijafahamika aliyekuwa mfanyakazi wa Benki hiyo kuhusika baada ya "kufukuzwa kazi kwenye Benki hiyo".
Binti huyo anaonekana Mrembo, mwenye haiba na busara lakini yamemshinda na kuamua kujirupua kwa kuvamia Benki hiyo.Taarifa zinasema Binti huyo aliamua kuingia kwenye Mtandao wa Majambazi uliotengenezwa
Kwa kwenda kuiba kwenye Benki hiyo huku wakiwa wamevaa Mask usoni ili wasiweze kujulikana.
Mchoro wake uligonga Mwamba na hatimaye Polisi kuwadhibiti. Nimekusogezea Picha za Binti huyo baada ya kukamatwa na Polisi :