Mkito Watoa List Ya NGOMA 5 Zilizowavutia Watu Wengi Kupitia Mtandao Huo Mwaka 2016. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Mkito Watoa List Ya NGOMA 5 Zilizowavutia Watu Wengi Kupitia Mtandao Huo Mwaka 2016.

Mtandao wa kuuza nyimbo za muziki Nchini Mkito.com umetoa List ya Nyimbo 5 za wasanii wa muziki nchini ambazo zimepakuliwa zaidi kupitia Mtandao huo ndani ya mwaka 2016.

Kupitia Akaunti ya twitter Mkito wameandika "tunapofunga mwaka hizi ni baadhi ya Ngoma zilizowavutia watu wengi 2016 hebu tutajie zako 5 ulizozikubali zaidi mwaka huu 2016.


Mtandao huo wa Mkito kwa sasa ni mmoja kati ya mitandao mikubwa Nchini Tanzania ambayo inategemewa na Wasanii kwa kuuza Nyimbo zao.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More