Pogba Achukizwa na Maneno ya Uzushi juu Yake. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Pogba Achukizwa na Maneno ya Uzushi juu Yake.

Mchezaji wa Manchester United Paul Pogba amekerwa sana na taarifa ambazo yeye anadai kuwa ni za Upotoshaji ambazo zinaelezea juu ya tabia yake kipindi akiwa na Juventus kabla ya Kwenda Manchester United.
Kiungo huyo ambaye aliutumia muda wake wa miaka 4 akikipiga pale Turin na kuiwezesha Juventus kubeba Mataji ya Seria A kwenye kila msimu kabla ya kurudi tena Old Trafford kwa ada ambayo ilivunja rekodi ya Usajili.

 

Ilikuwa inasemekana kwamba wakati akiondoka Juventus kwenda Manchester United alidai kuwa "Kama anakwenda mapumzikoni Man U na baadaye atarudi"
Hata hivyo Pogba kwa upande wake anadai kwamba yeye hajawahi kuongea kitu kama hicho.

Pogba anasema yeye alirudi Manchester
United sababu ni klabu ambayo amekulia na alikuwa anajisikia anarudi nyumbani kwake.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More