Ajali ya barabarani imetokea leo asubuhi eneo la Igunus mkoani Mbeya ikiwa imehusisha basi la abiria Mali ya kampuni ya New Force malori mawili ya mizigo na gari jingine dogo.Basi hilo hufanya safari zake kati ya Tunduma na Dar es salaam.
Taarifa za awali kutoka kwa mashuhuda wa ajali hiyo zinaeleza kuwa hakuna MTU aliyepoteza maisha.Jeshi la Polisi bado halijatoa taarifa kuhusu chanzo cha ajali hiyo na kama kuna watu waliofariki au kujeruhiwa kutokana na ajali hiyo. Hizi hapa Picha za Ajali hiyo :