Ronaldo ajitengenezea rekodi yake mpya kwenye Soka. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Ronaldo ajitengenezea rekodi yake mpya kwenye Soka.

Mchezaji wa Real Madrid ameendelea kujitengenezea rekodi yake mpya kwenye Mchezo wa Soka.
Alhamisi hii Mchezaji huyo alifanikiwa kufikisha goli lake la 500 kati ya Mechi 638 wakati Real Madrid ikipata ushindi wa Magoli 2_0 dhidi ya Club America ya Mexico katika mchezo wake wa nusu fainal ya kombe la vilabu bingwa vya dunia huko Nchini Japan.


Magoli hayo yote ni yale aliyofunga akiwa na timu za vilabu pekee ikiwemo Sporting Lisbon ya Ureno aliifungia magoli 5 katika michezo 31.Manchester
United aliifungia magoli 118 kati ya mechi 292 na timu yake ya Real Madrid kashafunga magoli 377 katika Michezo 366 aliyocheza.

Wakati huo huo Ronaldo ndio Mfungaji bora wa muda wote kwenye timu ya Taifa ya Ureno akiwa ameshafunga jumla ya Magoli 68 mpaka sasa.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More