Mabweni ya Shule ya Sekondari ya Ufundi ya Mtwara (mtwara technical sec school) yamewaka moto asubuhi ya Leo na kuteketea kabisa.
Hakuna mtu aliyepata madhara kwa kuwa shule zimefungwa na hakukuwa na
Wanafunzi.Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana lakini polisi wanaendelea na Uchunguzi wa moto huo.