Askari ajiua kwa kujipiga Risasi. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Askari ajiua kwa kujipiga Risasi.

Askari wa kikosi cha Suma JKT Moses Mwita amefariki dunia baada ya kujipiga risasi sehemu ya kifuani.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Ahmed Msangi alisema tukio hilo lilitokea saa 4:15 asubuhi katika kituo cha mafuta cha BMC mlimani kilichopo mtaa wa Bugando.

Askari huyo alijiua kwa kutumia silaha aina ya Shortgun.Kamanda Msangi alisema taarifa za awali zilibaini kuwa askari huyo alionekana
akizungumza na simu kwa muda mrefu kana kwamba kulikuwa na tatizo lililokuwa linamtatiza.

Na baada ya muda alizunguka nyuma ya kituo na kujipiga risasi Kifuani hivyo kusababisha kifo chake alimalizia kamanda Msangi.

SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More