DEAL DONE yanga yamsajili Mzambia. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

DEAL DONE yanga yamsajili Mzambia.

Klabu ya Dar es salaam Young African leo December 1 imemtangaza kumsajili kiungo raia wa Zambia Justine Zulu mwenye umri wa miaka 27.Kiungo huyo mkabaji amesajiliwa kwa mkataba wa miaka 2.


Yanga imemsajili Justine Zulu kutokea timu ya Zesco United ya Zambia kwa taarifa hiyo sasa ni rasmi Justina Zulu ataungana na kocha wake huyo wa zamani ambaye amejiunga na Yanga hivi
Karibuni George Lwandamina.
SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More