Maamuzi ya Mahakama kuu Arusha kuhusu Dhamana ya Godbless Lema. | Tino Ze Mastermind

TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS,MUSIC,VIDEO AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Breaking News
Loading...
TANZANIA NEWS,POLITICS NEWS,CELEBRITY GOSSIP,ENTERTAINMENT NEWS AND SPORTS NEWS 24 HOURS.

Maamuzi ya Mahakama kuu Arusha kuhusu Dhamana ya Godbless Lema.

Mahakama kuu ya Arusha imemnyima dhamana Mbunge wa Arusha Mjini Chadema Godbless Lema.Mahakama hiyo imeeleza kuwa mawakili wa mtuhumiwa huyo walipaswa kuonesha kusudio la kukata rufaa ndani ya siku 10 kabla ya kukata rufaa.

Hii ni Mara ya 5 Mbunge huyo anakosa dhamana mahakamani tangu alipokamatwa November 3 mwaka huu akiwa mjini Dodoma na kusafirishwa hadi Arusha katika kesi ya Uchochezi inayomkabili.Katika kesi ya Msingi Lema anatuhumiwa kutoa maneno ya kichochezi dhidi ya Rais Magufuli kwa madai kuwa mungu ndiye aliyemwambia maneno hayo wakati akiwa anaomba.


SHARE HABARI HII NA WENZAKO WAIPATE
KAMA UKIHITAJI KUWEKEWA MUONEKANO MZURI(BLOG DESIGNING) WA BLOG YAKO KAMA HUU WASILIANA NA RUBEN EMMANUEL KWA NAMBA 0716528779/0755542721 KARIBU SANA

google+

linkedin

About Author
  • ASANTE MSOMAJI WETU KWA KUTEMBELEA BLOG HII MAALUMU KWA HABARI MBALIMBALI, USISITE KUWASILIANA NASI KAMA UNA HABARI PICHA VIDEO MAONI NA USHAURI MATANGAZO YA BIASHARA N.K. NAMBA ZETU NI 0714082857Read More